Lucien bokilo wikipedia
Lucien bokilo wikipedia
Lucien bokilo one way.
Na Remigius Mmavele
Sehemu ya Pili
ILIPOISHIA
Uhamisho wake kwenda Loketo ulikuwa wa kuvutia sana kwa sababu rafiki yake Awilo Longomba alitaka ajiunge na kundi la Papa Wemba, Viva la Muzika.
ENDELEA...
Wakati huo huo, Aurlus Mabele aliyekuwa kaka mkubwa jirani na pia binamu yangu, Lucien Bokilo na Jean Baron(marehemu), walimfuata na kumwambia kuwa aende akajiunge na kundi la Loketo.
Hiyo ilikuwa mwaka 1988, ndipo Bokilo alijiunga na kundi hilo akiwa mwenye umri mdogo kuliko wanamuziki wenzake wote.
Miaka michache baadaye, kulitokea kutokuelewana katika bendi kati ya Diblo Dibala na wenzake, jambo ambalo lilifanya bendi isimame kufanya kazi kwa miezi michache.
Kipindi hicho ndipo mwimbaji Ballou Canta alimwomba ajiunge na kundi la Soukous Stars, naye bila hiyana, akakubali kujiunga na kundi hilo, na wakatoa album yao ‘Soukouss Stars in Hollywood (1993)’, ambayo alitunga Wimbo ‘Robin Pretty’.
Kuna wakati Bokilo aliwahi kulitumikia kundi la Nouvelle Generation (Zipompa Pompa), amba